Recent content by ZAVIHUSO

  1. Z

    Kati ya diploma ya medical laboratory na radiology ipi Bora ?

    Vip kuhusu mionzi nasikia Ina madhara au,ni maneno ya watu tu.
  2. Z

    Kati ya diploma ya medical laboratory na radiology ipi Bora ?

    Shukran kwa ushauri mzuri mkuu, vipi kuhusu suala la mionzi nasikia Ina madhara ,au ni maneno ya watu tu
  3. Z

    Kati ya diploma ya medical laboratory na radiology ipi Bora ?

    Habari za muda huu wakuu, Naomba mnisaidie kujibu swali tajwa hapo juu, ipi ni kozi nzuri kusoma Kati ya hizo kwenye nyanja ya kuajiriwa pamoja na kuajiriwa. Japo lengo langu kubwa ni kujiajiri. Karibuni kwa michango yenu
  4. Z

    Faida ya kiuchumi ya kufungua maabara binafsi ya magonjwa ya binadamu

    Wakuu nina mpango wa kufungua maabara yangu je nitegemee kupata faida gani Kwa siku?
Back
Top Bottom