Kiukweli siyo haki sup inatakiwa wanafunzi wapewe baada ya wiki nne hadi sita after receiving results..watoto wakikaa nyumbani miezi nane hawatoweza kusoma huko mtaani mwishowe wanakata tamaa ya kusoma ni Bora wa-carry waendelee na masomo yao Kama kawaida
Kwakweli hii sio haki kwasababu Kila mwanafunzi anahaki ya kufanya supplimentary..pia kukaa nyumban kwa muda wa miez nane jmn bila masomo mwanafunzi anaweza akasahau Kila kitu kuhus masomo yake na anaweza kujishughulisha na mamb mengn ambay yana athari kwake na kwa wazazi wake pia..mbona vyuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.