Mimi kichwa kinauma, nimetransfer pesa kny account yangu. Leo siku ya 4 haijaingia kny account yangu na kny M-pesa account wameshaikata.
Kwa kuwa limenitokea Mara Mbili ndani ya wiki 2...nimekoma kurudia hii huduma. Nimepata hasara kubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.