Zipo poa na tigo inasoma fresh hata nikiweka voda na hii airtel co kama haisomi kabisa kuna muda inakuja na kuondoka ila ndo ikiondoka ndo imeonfoka na data natumia ya hii airtel ambayo inayoandika emergency call only.
Yaan nikiweka line ya airtel ndo inazngua tu nikibadilisha upande wwte wa line inazngua ila lkn ya tigo na voda sehemu zote zinasoma nikijaribu airtel ndo inazngua some time inasoma kama sekunde 50 tu baada ya hapo muda wote...Nikijarbu kwenye network operator ina registry vzr data zinasoma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.