Recent content by zakhy

  1. Z

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    Ni mwaka mzima na hiyo tareh 9 uwe na million 1 na laki 1..uwe na mkopo au huna
  2. Z

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    Watu Kama nyinyi wapo kila secta kwahiyo sikushangai Kama kusoma Marian ndo urud mtaan bila ajira et si chuo wapo waloosoma ud na wapo mtaan hawana mbele wala nyuma nacho si chuo?! Acha fyongo zako
  3. Z

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    Mi nimechaguliwa bachelor of education in science(geography and mathematiCs)
  4. Z

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    We unaonaje?! Wanaoongea hapo ni degree takers kwahiyo jb unalo
  5. Z

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    Kwani ukitaj kiko wapi utakua umepungukiwa nn?! Usione ujinga kufanya hivyo kwasababu tcu wanakufanya ufanye maamuz Kama hayo kwakua round zoooote unakosa nafikir nn?!
  6. Z

    Ndugu zangu tuliochaguliwa Marian University naomba tukutane hapa tuyajenge

    Mm pia nipo hapo Marian Hivi kipo wap hiko chuo?!
  7. Z

    Walichaguliwa nit 2015/16 tukutane hapa

    Nyie mliochaguliwa hapo ni wale wa first round au wote kwa ujumla na 2nd round?!
  8. Z

    Waliochaguliwa Kujiunga na Kozi za Shahada, Chuo cha Taifa cha Usfirishaji

    Hayo majina ni wale wa 1st round au woote?!kwa ujumla?
  9. Z

    Waliochaguliwa kujiunga na chuo cha taifa cha usafirishaji nit

    Waliochaguliwa ni kwa wale wa 1st round au wote na 2nd round...?! Msaada wa jb tafadhali..
  10. Z

    2round selection

    Kwel mkuu.. Watu tunapresha hapa mwaka mzima mtaan af anasema nn huyo..
  11. Z

    2round selection

    Unaanzaje kutemwa wakat kwanza unajaza tena coz zaid ya moja au mbili pili capacity ya kila chuo ulichojaza kuna zaid ya nafas labda 50 au zaidi?! Chamsingi hapo tcu wanahitaj walimu tu
  12. Z

    Nit( national institute of transport)

    Embu nijuze kidogo kuhusu hiko chuo mi nimejaza tu 2nd round baada ya kuona kuna coz yenye mkopo kwakua ckua na jins ya kufanya..
Back
Top Bottom