CHACHA WANGWE/ CHACHA RASTA
Ni miaka 6 imepita tokea ulipotutoka usiku ule wa tarehe 28/7/2008. Bado jina lako linakumbukwa na watanzania wengi ilihali ipo wazi kuwa, wabunge waliotukoka katika bunge lile la tisa walikuwa wengi lakini jina lako ni miongoni mwa majina machache ambayo bado yako...
KUMBUKUMBU YA HAYATI CHACHA WANGWE
Ni miaka sita(6) sasa tangu alipotutoka aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tarime,Diwani wa kata ya Tarime Mjini, Waziri kivuli wa Maji, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Baba yetu mpendwa Hayati Chacha Zakayo Wangwe kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.