Daah ndugu yangu.. kweli ww sijui unatumia nini kuwaza.. nahisi utakuwa mpagani labda.. ama tu unachuki na waislam.. kila mmoja ana haki ya kuabudu chochote na yeyote.. na uhuru huo hauwez kutufarakanisha kwa lolote.. kwo wakivaa hijabu ndo vita ama🤣🤣🤣🤣 muislamu kumvua hijabu yake ni...
Nimewahi kusoma kabla chuo hiko. Sio kana kwamba ratiba inaisha usiku bali ni maamuzi ya mwanafunzi mwenyewe kusoma asubuhi ama usiku.. Ratiba hiyo iliweka ili kusave wale wenye kazi zao mchana au majukum mbal mbal nao waweze kupata haki ya kusoma..
Ikiwa mtu angekuwa na tatzo hilo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.