Recent content by zakariah

  1. Z

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    mzee kaishiwa maono.Aende tu si tushafanya maamuzi yetu lowasa kwenda ikulu kupo palepale hata wafanyeje.MUNGU bariki UKAWA.
  2. Z

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    0656933081,0689557288.Add hizo namba mkuu
  3. Z

    Kutoka Kariakoo: Watu waliovalia mavazi ya CCM wazomewa na machinga

    na safari hii yatakoma haya magamba ya lumumba.VIVA UKAWA
  4. Z

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    makufuli alipotangazwa kupeperusha bendera ya kijanini alisema hivi sasa wapinzani huko walipo matumbo yanawacheza.Lumumba tujuzeni hali ya dalali wa....ikoje baada ya kamanda EL kuchukua form ya urais kupitia ukawa?MUNGU IBARIKI UKAWA.
  5. Z

    CCM ni lazima tutashinda kwa kishindo kikubwa

    wewe acha kukariri tanzania ya leo watu wake wameamka tofauti na zamani.Afu ujasili wa kusema ccm itashinda kwa kishindo unaupata wapi,kweli magamba mmepagawa.
  6. Z

    Jipatie tishet yako ya UKAWA

    unapatkana wapi mkuu?
Back
Top Bottom