Recent content by Zakaria Maseke

  1. Zakaria Maseke

    Tofauti kati ya Wakili mpenda haki na Wakili mfanya biashara

    WAKILI MFANYA BIASHARA - lengo lake kuu ni kumsaidia mteja wake kushinda kesi, anatumia udhaifu wa sheria au mianya (loop holes) ya sheria, ujanja ujanja na mbinu mbalimbali za kisheria kumsaidia mteja wake kukwepa haki. Anatumia sheria vibaya na hata kutoa hoja za uongo kupotosha Mahakama kwa...
  2. Zakaria Maseke

    Kanuni (principles) na masharti (conditions) ya kutumia ushahidi wa mazingira (circumstantial evidence) Mahakamani

    Ushahidi wa mazingira (circumstantial evidence) - huu ni ushahidi ambao hautoi uthibitisho wa moja kwa moja wa ukweli wa jambo fulani, bali unategemea mazingira yanayozunguka tukio husika ili kutoa hitimisho. Ushahidi wa kimazingira mara nyingi hutegemea matendo ya mtuhumiwa na mazingira ya...
  3. Zakaria Maseke

    Hatua za kusajili kampuni, nyaraka zinazotakiwa, gharama za usajili, vigezo na mambo ya kuzingatia kabla na baada ya kusajili kampuni nchini Tanzania

    Jinsi ya kusajili kampuni, nyaraka zinazotakiwa, gharama za usajili, vigezo na mambo ya kuzingatia kabla na baada ya kusajili kampuni nchini Tanzania (Procedures for the registration of companies, costs for registration and things to take into account before and after registration of a company...
  4. Zakaria Maseke

    Kwanini baadhi ya kesi hupelekwa Mahakama za chini ambazo hazina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo?

    Atajibuje sasa na hajaulizwa Unajibu ukiulizwa "Mshtakiwa kweli si kweli?" Ukijibu nje ya utaratibu hawa record (hawaandiki)
  5. Zakaria Maseke

    Kwanini baadhi ya kesi hupelekwa Mahakama za chini ambazo hazina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo?

    Sababu ya makosa ya jinai ambayo yanatakiwa kusikilizwa Mahakama Kuu kupitia kwanza kwenye Mahakama ya chini ni utaratibu wa kisheria unaitwa COMMITTAL PROCEEDINGS (MWENENDO KABIDHI). Inafanyika kwa makosa yote ambayo yanatakiwa kusikilizwa na Mahakama Kuu. Ukitaka kuyajua hayo makosa soma...
  6. Zakaria Maseke

    Kwanini baadhi ya kesi hupelekwa Mahakama za chini ambazo hazina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo?

    Sababu ya makosa ya jinai ambayo yanatakiwa kusikilizwa Mahakama Kuu kupitia kwanza kwenye Mahakama ya chini ni utaratibu wa kisheria unaitwa COMMITTAL PROCEEDINGS (MWENENDO KABIDHI). Inafanyika kwa makosa yote ambayo yanatakiwa kusikilizwa na Mahakama Kuu. Ukitaka kuyajua hayo makosa soma...
  7. Zakaria Maseke

    Ninapotaka kumshtaki mtu Mahakamani natakakiwa nianzie wapi?

    Inategemeana na kesi, mfano ni kesi ya jinai au ni kesi ya madai? Kama ni kesi ya madai (civil case) hutakiwi kwenda polisi kwa sababu polisi hawahusiki na kesi za madai wala hawaruhusiwi kumkamata mtu kwa kosa la madai (Ingawa in practice wanafanya hivyo lakini sio sahihi). Badala yake nenda...
  8. Zakaria Maseke

    Nahitaji kuishtaki kampuni ya Tigo Tanzania, mwenye kujua taratibu za kuishtaki kampuni tafadhali anipe muongozo

    Peleka malalamiko ofisi za Tigo kwanza, usiporidhika nenda TCRA, usiporidhika nenda Fair Competition Tribunal ambayo uamuzi wake utakua ni final
  9. Zakaria Maseke

    Umuhimu wa Kumuunganisha Msajili wa Hati Miliki (Registrar of Titles) Kwenye Kesi ya Ardhi Ambayo Kiwanja Kimesajiliwa na Kina Hati

    Ukifungua kesi ya ardhi ambayo kiwanja kimesajiliwa au kina hati, unatakiwa kumshtaki pia na Msajili wa hati (Registrar of titles). Kushindwa kumuunganisha au kumshtaki Msajili kwenye kesi ambayo ardhi ina hati ni kumnyima haki ya kusikilizwa. Na hukumu yoyote itakayotolewa kwenye hiyo kesi bila...
  10. Zakaria Maseke

    Maana ya kiapo na mambo ya kuzingatia kisheria unapoandaa kiapo (affidavit)

    Unapoandaa affidavit au kiapo unatakiwa kuapa juu ya mambo ambayo yako kwenye ufahamu wako binafsi tu. Soma Order XIX rule 3(1) Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Madai (CPC) inasema, "#Affidavits_shall_be_confined_to_such_facts_as_the_deponent_is_able_of_his_own_knowledge_to_prove..." Hata hivyo...
  11. Zakaria Maseke

    Kwa Jaji mkuu Tanzania

    Tafuta Mwanasheria
  12. Zakaria Maseke

    Jinsi ya kukaza (kutekeleza) hukumu ya Mahakama ya Mwanzo

    JINSI YA KUKAZIA AU KUTEKELEZA HUKUMU MAHAKAMA YA MWANZO: Mwandishi: Zechariah Wakili Msomi Zakariamaseke@gmail.com (0612275246 /0754575246 - WhatsApp) Unaposhinda kesi ya madai, mfano umefungua kesi na hukumu imetoka umeshinda kesi, labda Mahakama imesema ulipwe au urudishiwe nyumba, hauishii...
  13. Zakaria Maseke

    Jinsi ya kuomba zuio la Mahakama (temporary injunction) kuzuia mali yenye mgogoro isiharibiwe, kuuzwa au kupotea

    Je unaweza kuomba temporary injunction/ stop order (zuio) wakati kesi iko kwenye hatua ya rufaa? Kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Madai (Civil Procedure Code/ CPC) unaweza kuomba zuio la muda mfupi Mahakamani ikiwa utaona mali inayobishaniwa kwenye kesi iko hatarini kupotea au...
Back
Top Bottom