mimi nina elimu y kidato cha sita nawaomba wana jamii mnisaidie niweze kupata kibarua kama kuuza duka,kuhudumia coffee shop,supermarket please naomba tusaidiane kulijenga taifa
acheni majibu ya kunyaa we kama hakija kuhusu pita mimi nina akili timamu na wala co mwehu kama unavyadhani just ni uamuzi wa mtu kuishi maisha anayotaka mimi nina ahadi kuishi na mtu huyo so cwez kuvunja ahadi ww kama unajijua upo nahali hyo nitafute kimykmy
kama kuna mkaka anaishi na virusi vya ukimwi au unarafiki yako naomba uni PM tupate kuongea mm naitaji mwanaume aliyeathirika npate kuishi nae hili suala nliloamua mimi ingawa mm cjaathirika nataka kumpa maisha ya mapenzi na asijutie kuwa duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.