Recent content by Zahir Saidi

  1. Zahir Saidi

    Uzi maalum kwa tuliochaguliwa MUHAS 2017 - 2022

    Changamoto kubwa ni kukosa mkopo Kwa sis wa mwka jana waliopata asilimia mia ni wale tu wasio na wazaz wawili Kama una wazaziwawili jiandae kwa 89% , na hio ni kwa wale waliosoma gvt mwanzo mwenga Kama st. Mary ilihusika jiandae kupata yyte watakayoamua. Haijalishi kama MD au la. Jiandas huenda...
  2. Zahir Saidi

    Msaada: Joining instructions chuo cha Bagamoyo

    Nipe link mana mm kila nkisearch sizion izo joining Achana na www.nacte.go.tz Nataka io ya joining
  3. Zahir Saidi

    Majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo awamu ya pili kupitia NACTE yanatoka lini??

    Mimi mwenyewe wananmbia server not found Nahisi ipo katik matengenezo wakimaliza tu tutaona Tusubir kwa wiki hii nadhan mambo yatakaa sawa
  4. Zahir Saidi

    Majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo awamu ya pili kupitia NACTE yanatoka lini??

    Mfano chuo cha Bagamoyo school of nursing hakina website Nafanyaje sasa???
  5. Zahir Saidi

    Msaada: Joining instructions chuo cha Bagamoyo

    Kwani umechaguliwa hapo hapo au hadi vyuo vingine joining bado
  6. Zahir Saidi

    Msaada: Joining instructions chuo cha Bagamoyo

    Kwa anaekifahamu chuo cha Bagamoyo school of nursing naombeni anisaidie kujua napataje joining instruction. Maana chuo hakina website na nimejaribu kuingia account yangu ya NACTE haifunguki tena Naombeni msaada wenu mana muda wa kwenda chuo unakaribia.
Back
Top Bottom