Siku ikitokea nchi yoyote imemnyonga Mtanzania na bila serikali yetu kufanya lolote lakuzuia hilo, , ,na Watanzania tutaanza kuchinja mmojamoja kutoka Taifa hilo hadi wote wakimbie hapa Nchini
Mwakyembe anapaswa kujiuliza Ujerumani alipelekwa kufanya nini pamoja na akina Marehemu Mvungi? Alivyorudi tu akawasaliti wenzake, mimi simshangai. Ni jamii ya watu wasiojielewa inayofanya mambo kwa kufikiri kwa akili ya kitoto kwenye maswala ya kiutu uzima.
Huenda waliporudi na baada ya Gwajima kuruhusiwa alipewa madawa yakulevya kwa nguvu ili vipimo visome tena. kamchezo kazuri haka. Kwani mtu ukihojiwa na polisi lazima uugue moyo, hii ikoje?
Mwaka juzi meli ya Kinana iliripotiwa kukamatwa na meno ya Tembo kutoka Tanzania na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa. Hizi mbwembwe ni kwa sababu hakuna jina la mkubwa wa CCM lililotajwa. wangetajwa akina Makinda, Msekwa au Kinana yote haya yasingetokea.
Huenda Rais amekosa ushauri au Rais hataki ushauri. Ndo taabu tuliyonayo awamu hii ya 5.
Mara nyingi huwa nasikia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya na a Viongozi wengine kauli zitazo:
"Kama alivyosema Rais",
"Msimamo wa Mhe Rais wetu"
"Natekeleza kauli ya Rais"
Na mengineyo mengi!
Je, ni rais...
Mazuri yote yanayozungumzwa hayawezi kukidhi haja za watu kama demokrasia haipo na kama watu wanaishi kwa hofu. Mfano ni Libya walikuwa wanalipiwa hadi mahari kwa starehe zako lakini Rule of Law ikakosekana na iliparaganyika
Mimi najua hawa hawalipwi, wanajitolea tu! ila wana marupurupu tu. Kwani wanalipwa na nani? Malipo ni cash, cheque au through bank deposit? Kama ni bank deposit ni bank gani? Hapo tukifuata hadi tutakutana nayo hiyo mishahara yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.