Ningewaelewa kama wangeamua kupeleka ma kachero wa polisi kama ndiyo makomandoo maana naamini Mbowe alikuwa hawajui. Na hapo ingekuwa rahisi kufuatilia kila kitu. Sasa mnaruhusu vipi apelekewe makomandoo halisi na ufuatiliaji wa kijinga namna hiyo? Kama siyo michongo ni nn sasa?
Hivi hawa watu wako serious na mambo ya ugaidi kweli? Kama huyu Luteni alitoa taarifa kwa DCI na wakakubaliana aendelee na utaratibu kama walivyokubaliana na Mbowe basi kazi tunayo.
Hao makomando Mbowe alikuwa anawafahamu? Kwa nn wasipeleke polisi wapelelezi wakawa undercover kama ndiyo...
Yaani hizi mambo zinachekesha sana sometimes. Walikuwa tayari kuumiza watu kirahisi tu. Yaani mtu kapanga makubwa namna hiyo halafu mnampa na watu wa kutekeleza kirahisi tu na ufuatiliaji wa kimaandazi namna hiyo. Hivi kama watu wako serious si wanafanya tukio na kutokomea? Anaulizwa ulifanya...
Yaani kwa hili na mimi kesho naenda kuwapiga chini tu. Hawajui tu kuna watu kesho walikuwa waende kuwapigia kura lakini kwa kitendo cha kuzima mitandao wengine wameghafirika pia kama mimi.
Mtaalam hivi hawa Aliexpress wana mawakala wa kusambaza vitu tunavyoagiza mtandaoni kama kikuu? Maana sisi wa mikoani kikuu wanatufikia kwa urahisi.
Vipi kuhusu kodi ya vitu vidogo vidogo kwa upande wa Aliexpress?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nanukuu"Nchi hii ni taaajirii tutafanya kwa pesa zetu wenyewe. Watanzania tutembee kifua mbelee. "Mwisho wa kunukuu[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kumbe mafi mafi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa tunakwenda kwa style ya bora liende. But kuna mahala tutatumbukia halafu kujikwamua ndiyo itakuwa taabu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukisikia balaa ndiyo hili. Ukute na yeye alikuwaga anaimba kale ka wimbo ka acha waisome namba eeee kwa nguvu na kejeli[emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.