Sio yeye anazijua...mm ndo huwa namwambia kulingana na cku ucka na alizipa kipaumbele sana ila birthday alikuwa anaijua....anyway asantee
Asante sana. This is so beautiful...ubarikiwe
Kwamm ilikuwa na maana sana especially cku ya kifo ya baba mama yangu...uwa inakuwa ngumu sana kwangu....sio vitu vya lazima ila ni vizuri ukivitilia maanani
Habari ya siku ya leo wana Jamvi natumai wote ni wazima wa afya..kwa upande wangu sipo vizuri sanaa nipo kitandani siku ya 3 sasa afya kidgo changamoto,katika haya maisha ukiwa na afya njema basi wewe ni Tajiri sana hivyo tujifunze kushukuru,basi twende moja kwa moja kwenye lengo..mwaka 2021 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.