Mkuu kwenye hii excel/sheet kuna column naona umeweka rangi nyekundu, njano na light blue zina maana gani? Japo nimeipenda sana hii inasaidia kuwa na kumbukumbu ya mahesabu
Mkuu kuna mtu kafungua kama kikampuni chake anauza pikipiki used. Kuna TVS ya cc125 anaiuza kwa laki 6 na 80! Kwa utalamu wako hii inaweza kuwa iko safi? Nataka kununua
Jamani mko kimya sana, naomba kujua mtu akiwa na 100mil af akawa hana jengo wala kiwanja anataka kununua kiwanja na ajenge jengo lake mwenyewe la zahanati, hii budget inatosha kufanya hayo yote + ujenzi wa zahanati + ujenzi wa incinerator + kuweka vifaa tiba vyote vinavyohitajika + kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.