Recent content by ZABRON HARUNA

  1. Z

    Msaada: Mahali kwa wanyiramba

    iko hv watoto huwa ni mali ya uko wa baba na mwanamke anapoolewa anakuwa ni mali ya kabila au ukoo hucka(kama mahari imelipwa)incase myiramba ndo anaoa watoto ni mali yake na jina la ukoo litatoka kwenye upande wa mama.umenisomaa .kama bado ulza
  2. Z

    Msaada na Ushauri wa haraka

    Kutokana na amri ya rais we2,ya kuwarundisha wahamiaj haramu. Moyo umekutwa na simanz kwan nimeathirka kwa namna 1, kwan nilikuwa mwanamke wa kitusi na tuna watoto wa 3 na anamimba, so nilikuwa naomba ushaur ambao unaweza kunusuru ndoa yng ambayo bado naipenda,
  3. Z

    Mchumba wake amezimia mara mbili toka asubuhi, sababu amembwambia kama mimba haitapatikana , ndoa ak

    mkapme ili mjue mbovu ni nani,sasa kama unalaumu 2 huenda ubovu uko kwako.
Back
Top Bottom