iko hv watoto huwa ni mali ya uko wa baba na mwanamke anapoolewa anakuwa ni mali ya kabila au ukoo hucka(kama mahari imelipwa)incase myiramba ndo anaoa watoto ni mali yake na jina la ukoo litatoka kwenye upande wa mama.umenisomaa
.kama bado ulza
Kutokana na amri ya rais we2,ya kuwarundisha wahamiaj haramu.
Moyo umekutwa na simanz kwan nimeathirka kwa namna 1, kwan nilikuwa mwanamke wa kitusi na tuna watoto wa 3 na anamimba,
so nilikuwa naomba ushaur ambao unaweza kunusuru ndoa yng ambayo bado naipenda,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.