halafu wewe unaokana hata medical field haikufai. Hivi ni mara ngapi swali kama hili limeulizwa? Zikitoka si utajua. Au unataka uambiwe mara ngapi. Kwanza majina yako ulitumia yapi,naona mnaipaka matope wizara tu kila siku.
huwa ni 600,400 na wala siyo 604,000 kwa diploma course zote na 550,400 kwa certificate zote ila hyo ni basic bado field 150,000@year. Upo hapo? Hyo ni kwa awamu mbili tu.
Naomba nifafanue thread yangu. Ilikuwa walioko mwaka wa pili na watatu waanze mitihani yao tar 19 mwez huu lakin wamesogezewa mpaka tar 9-23 sept wametuma walaka kila chuo ambapo selection zitafanyika tar 16-28 sept na watatangazwa watakaochaguliwa tar 5-11 octoba. Hiyo ni hakika. Ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.