Recent content by yusufu ismail

  1. Y

    Bei ya bidhaa za kuwashia moto wa mkaa

    Habari wanajamvi!nahitaji msaada wenu kwa anaefahamu bei za bidhaa ambazo hutumika kama nishati ya kuwashia moto badala ya kutumia mafuta ya taa hasa kwenye mkaa huwekwa juu yake kwa kuwashia,nahitaji kuwa msambazaji wa bidhaa hii ila sifahamu wapi inapatikana na bei zake kwa carton..hivyo kwa...
  2. Y

    Natafuta tenda

    habari wana jf,nimeamua kujikita katika ajira binafsi(ujasiria mali) kama kijana ili kujikwamua kimaisha hivyo naomba msaada wana jf kupata tenda ktk hotel au baa ya kuwauzia mbuzi kwa maeneo ya dsm au kibaha,tayari nimeanza biashara hii kwa baadhi ya sehem!kwa mawasiliano zaidi 0655-655540
  3. Y

    Tunatafuta wafanyakazi

    tumechoshwa na hii tabia ya watu kutumia matatizo ya wavuja jasho ili kujinufaisha,hii iko au mpaka tu dili nao ndo waache?
  4. Y

    New:Ajira mpya laki sita wizara ya kazi zinatosha kweli?

    Tusubiri utekelezaji wana jf maana yawezekana ikawa hvyo!
Back
Top Bottom