ukawa haiongozwi na fikra ndogo ndogo !vichwa vya ukawa ni timamu muda wote!tatizo munaiangalia ukawa majukwaani!ukawa ipo deep sana na wasomi makini lkn wengi hawajui hilo!mtabaki story tu ooh dk slaa hivi mara vile!subirini picha halisi uchaguzi mkuu!
hakuna hoja yenye mashiko hapo!lowasa ni sawasawa na generali wa jeshi kahisalimisha kwa adui !kazi kwenu ccm mbinu zote na mikakati yenu iko wazi kwa cdm!kama cdm wangelimkataa lowasa ni zaidi ya uwendawazimu kwao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.