Recent content by Yunatoy

  1. Y

    updates interview ya tarehe 8 duce

    let then keep trying coz that d/base is always displaying that msg
  2. Y

    updates interview ya tarehe 8 duce

    Sio hivyo, hiyo database unatakiwa uwe na mtandao wenye kasi kubwa....hiyo msg iko siku zote tu
  3. Y

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Yani waislamu ndio wanaweza kuongoza dunia!!! kweli hiki ni kitendawili, mbona nchi zilizo na vurugu duniani ni nchi za kiislamu, au hiyo ndio maana ya kuweza kuongoza dunia, kwa kujitoa muhanga kila kukicha, somalia kila siku kupigania madaraka , huo sio ukweli, ukweli ni kwamba kama...
  4. Y

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    najaribu kukuelewa, lakini nauliza hiviii! waisilamu wanadai Mahakama ya Kadhi kwa sababu serikali imeingia mikataba na makanisaaa! ama ni hitaji la waislamu la msingi??. Ukiangalia lalamiko hili la serikali kuingia mikataba na wakristu utakuta ni kuhusu huduma za jamii, zikiwemo hospitali...
  5. Y

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Mr.Junior Member, najaribu kukuelewa, lakini nauliza hiviii! waisilamu wanadai Mahakama ya Kadhi kwa sababu serikali imeingia mikataba na makanisaaa! ama ni hitaji la waislamu la msingi??. Ukiangalia lalamiko hili la serikali kuingia mikataba na wakristu utakuta ni kuhusu huduma za jamii...
  6. Y

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    By the way, can one of you give me light on how "Mahakama ya Kadhi" will operate under the Government authority and without it. Nilidhani, kama ilivyo kwenye taasisi na Mamlaka mbali mbali hapa nchini, kwamba kunakua na sera, taratibu, na kanuni za kuziendesha (yaani bylaws,policies and...
Back
Top Bottom