Mzee depression yako sio ya kiwango cha nchi hii tafuta msaada. Mi siombi likes kama wewe unavyopambana nazo mitandaoni.
Na kwa taarifa yako tu nina kiwanda tayari na nina mpango wa kuongeza kingine mwezi ujao kitaanza operation. Na kama huna kazi nita tangaza nafasi za ajira naweza kukuajiri...
Natamani kufungua kiwanda cha kutengeneza simu.Najua kua kila component hutengenezwa nchi tofauti then kuunganishwa, nahitaji vitu gani ili niweze kufungua kiwanda cha Simu ?
Wakuu napangisha frame yangu kariakoo iko mtaa wa Masasi jirani na hii barabara kuu ya Msimbazi na jirani na kituo cha mwendokasi cha Msimbazi.Inafaa kwa Simu, Vifaa vya Simu au Ufundi wa Simu. Kama utahitaji tuonane inbox.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.