Recent content by Yule msee

  1. Yule msee

    Ushauri: hakikisha una mganga mzuri kabla ujaenda oral interview yeyote ya utumishi

    Mkuu, naomba namba yako ya simu, kuna suala
  2. Yule msee

    Ushauri: hakikisha una mganga mzuri kabla ujaenda oral interview yeyote ya utumishi

    Mkuu, naomba namba yako ya simu, kuna suala nataka nikushirikishe unisaidie
  3. Yule msee

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Naomba namba yako nikupigie unielekeze issue kidogo
  4. Yule msee

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Na je zile direct cost (exam fee, practical, plagiarism etc) ni lazima zilipwe mwanzoni?
  5. Yule msee

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Mimi nimeomba postgraduate diploma in education, wameniambia ada ni 2,070,000 pamoja na direct cost so nataka kujua hii ada natakiwa niilipe kwa awamu ngapi
  6. Yule msee

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Bachelor of Arts in English

    Sina kazi nafanya issue zangu nje na masuala ya kielim
  7. Yule msee

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Bachelor of Arts in English

    UDOM wanaruhusu kubadili course,,ingawa mimi nimesoma hiyo ila sikushauri na wewe uisome
  8. Yule msee

    Naomba kufahamishwa kuhusu bachelor degree ya Education in Earlychildhood

    Ni course ya ualimu wa shule ya msingi; kwa ajira za juzi hapa walipendelewa sana waliosoma hiyo degree; ingawa sikushauri sana uisome
  9. Yule msee

    Postgraduate Diploma in Curriculum (Open Universty)

    Kwanza; kigezo cha kua lecturer chuoni unafaa kua na kitu kinaitwa academic consistency ; kutoka bachelor ukaenda masters na kuendelea sio kuumga unga Pili; unafaa kua na GPA ya atleast 3.5 kwa degree ya kwanza na 4.0 kwa masters Nkisoma hii post yako tu naona hauna vigezo mkuu; jaribu mambo...
  10. Yule msee

    For University professional

    sijui Hapana sijui mkuuu niambie wewe
  11. Yule msee

    For University professional

    Ahahaha kama wewe degree yako haikusaidii bas jua ni ww tuulipoteza mda chuo; au ndo nyinyi mlienda kusoma degree za fine arts
Back
Top Bottom