Habari wana jf, nasumbuliwa na madonda ya tumbo kwa muda mrefu
Nahitaji kujua anayejua herbal clinic ya uhakika (mana wengi dawa sio wa aminifu)
Naomba kuelekezwa herbal clinic inayotoa dawa za uhakika mana nina madonda ta tumbo kwa zaidi ya miaka 10
Shida yangu kubwa imekua TUMBO KUJAA GAS...
Ama kweli jf n home of grear thinkers
Thread nmeipenda sana, imenipa hamasa ya kutafuta mtaji,
Naamin ipo siku na mm ntafanya biashara kubwa, sjutii kua jf kwa kweli
Kwa kweli una mawazo mazr xn ndg, ingekua viongozi wetu wanauzalendo wa kweli wangeyachukua na kuyafanyia kazi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.