Upo sawa kabisa kua ni kada muhimu sana japo kila kada ina umuhimu wake mahali pake ila kwa wenzetu ndo naona wapo tayari kufanya lolote yani wamejitoa kila kitu, ukija Tanzania ukiwaangalia wataalamu wetu hawana utu hata kidogo...... nina mfano hai kabisa nikiwa naumwa mama mmoja kapeleka mtoto...
Mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Christopher Ngubiagai amekemea vikali na kuahidi kuwachulia hatua kali, baadhi ya wananchi wa wilaya hiyo kwa kuwazomea watalii wa kizungu na kuwaita majina ya corona baada ya watalii hao kutembelea wilaya hiyo.
Ngubiagai ameyasema hayo alipokuwa akitoa...
Wangezuia tu ndege kuingia nchini jamani maana uwezo wetu wa kupambana na huu ugonjwa somehow ni mdogo na hata katika mipaka yetu tuzuie jamani.... sasa kama watu wamefika sita tutategemea nini... hata kama tuna mahusiano mazuri kiasi gani ila afya kwanza ... daaaah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.