Hahahha nimeipenda ety sio kuweza kutrade profitably saaa itakuaje na mm n hyo nataka ...jokes
By the way shukran acha nikajisomee then nitakurudia najua tyu jiandae kwa usumbufu😀
Habarini za saa hizi wadau.
Mimi ni mgeni kwenye swala la forex sasa katika kujifunza nimeona kitu muhimu n kujua market structure (analysis) ambayo itaniwezesha kujua soko linatarajia kufanya nin kwa wakati sahihi.
Hivyo basi ni ombi langu kwa wadau wa forex kuhusu maelekezo either nitumie...
Nimefanikiwa kudownload app lakin maelekezo ya jinsi ya kununua bidhaa na nin kinafanyika mpaka isafirishwe na silent ocean nmeshindwa msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.