Habari brothers and sisters.
On my side napatikana Morogoro sana, naomba kuulizia mtu anayetengeneza pooltable au anayejua wapi zinauzwa ikiwemo bei yake na ubora pia tuwasiliane tafadhali.
Habari wana jf.
Natumai mu wazima na mnaendelea vyema katika ujenzi wa taifa.Binafsi ninafatilia san thread znazofanyika na kwa mtzamao wangu kati ya yote ayo idea ya biashara ndo imekuwa kikwazo kikubwa sana. Kutokana na elimu yangu nlionayo na bado ni mwanafunzi wa chuo katika ngazi za uchumi...
Naamini miongoni mwa watu wanaotumia pesa saloon ni kina dada sasa naona nimuda wangu wakujua mtaji wa kuanzisha saloon na vitu vinavyoitajika katika kufungua saloon kubwa ya kinadada.NAOMBENI UJUZI TAFADHARI WANA JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.