Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,405
- 14,168
Naombeni wadau waliokuwa wamenitumia namba ya kujiunga NA group tujiunge na hilo lililokuwa limeundwa zamani kidogo
Naishi TANGATuji-organize hapa hapa. Mtu ambaye yuko tayari a-ccoment mkoa anapotoka alafu tukifika watu wa kutosha tunampa taarifa na kupanga naye jinsi ya kurun hiyo program
Tanga mbona kama kuna urahisi wa kuja Dar kaka?Naishi TANGA
Mkuu nazani tubaki na lile group moja tu la platform ili twende vizuri
Na Mimi nipo BokobaKatika thread yake Ontario mwenyewe amesema yuko tayari kutoa training na mentorship kwa wakazi wa Mwanza, Kagera, Mara na mikoa jirani yenye uwezo wa kufika Mwanza. Anachohitaji ni kuji-organize tu.
Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi
Katika thread hapo juu post yake ni #46
Kwa kuwa nafasi imepatikana wakazi wa kanda ya ziwa tutumie thread hii kuji-organize ili aje kutoa mentorship.
Mimi niko Bukoba lakini muda wowote darasa likipatikana niko tayari.
Uko tayari kwa ajili ya mafunzo?Na Mimi nipo Bokoba
Jiunge kundini ishu ni wiki moja tuNipo Mwanza Mkianza tujulishane jamani
Lake Zone FOREX TEAMMi pia nko tayar kuwa miongoni mwa wanafunzi mia hao so organizer apatikane tupate madini ayoo
Usidanganyike mkuu kundi sahihi ni hiliMuafaka ni upi sasa hapo maana naona magroup zaidi ya matatu
Forex Northen TzKama mtaweza kujimobilize mfike japo 100, basi mimi na team yangu tunaweza kuja kwa week 1 tuwape madini, sina shida kbs juu ya hilo. Kanda hiyo ndio home kbs, so tupo pamoja sana.