Recent content by young toure

  1. Y

    wale waliochaguliwa comb ya PGM tukutane hapa

    kwani product ya PGM ni pilot peke yake?
  2. Y

    wale waliochaguliwa comb ya PGM tukutane hapa

    Habari zenu wana JF.Kwa mwanafunzi yoyote ambaye anasoma comb ya PGM tukutane hapa lengo ni kujuzana mambo mengi zaidi kuhusu comb hyo
  3. Y

    Wakali wa hisabati

    umbali ni=mwendo * mda =24km/h * 4.75h =114km
  4. Y

    Post za kidato cha tano 2015/2016

    kama m2 una credit ya 2.3 je unaweza kwenda kdato cha 5?
  5. Y

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    mm nmemalza kidato cha 4 nina GPA ya 2.3. Je ninaweza kwenda A level? Naomben mxaada wnu jaman.
  6. Y

    Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

    kw hyo katka maxomo ya comb ukiwa na C,C,B hpo itkua imebalance au?
  7. Y

    Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

    na ktka kupanga comb wanachek vgezo gan?
  8. Y

    Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

    il comb ibalance unatakiwa uwe na point ngp?
  9. Y

    Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

    yan namaanixha anatakiwa awe na GPA ya ngp?
  10. Y

    Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

    Habari zenu wana JF. Nilikua nahitaji kujua ni vigezo gani vitamuwezesha mtu kuendelea na kidato cha 5. Hivyo pls naomben msaada wenu.
Back
Top Bottom