Napenda kuuliza ivi lini serikali yetu itaachana na siasa kwenye mambo yanayohitaji ukweli:
Mfano mwanzoni wa mwaka huu Serikali ilitangaza ajira na bungeni wakasema kibari kutoka Rais kimepatikn cha ajabu sasa ni muda sana toka tamko litolewe: je lini watafungua dirisha la maombi au hii hoja...
Utajiri: Utajiri ni namna ya kuwa na vitu vingi vya thamani na kuwa na vyanzo vya mapato ambavyo vinamilikiwa na mtu au nchi .Tanzania imebalikiwa na katika utajiri wa vitu vingi sana vya thamani
Katika miaka mitano ya mabadiliko Tanzania naipata jina Tanzania tajiri ambayo itapambania na...
Uzalendo ni kitendo cha mtu kuipenda, kuithamini na kupambania nchi yake.natamani miaka mitano na kuendelea tuzalishe jamii ya uzalendo wa kweli na kuithamini nchi yetu.
Mapendezekezo yangu bunge litunge sheria kwa kila mgombea awe anaenda kula kiapo jimbo kwake mbele ya wananchi kwa mkataba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.