Recent content by Young Leader

  1. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Very sadly my condolences to all facing deeply poverty across all our country Tanzania 🇹🇿🇹🇿 Wasakatonge tunaotaka familia za hali ya chini,tunaomtegemea Mungu na kuamini Katika haki,usawa na uzalendo wa kweli kwa Taifa hili tuanze na zoezi la kuipigia kura hili andiko/Mada/Chapisho liweze...
  2. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Asante sana kiongozi mada hii inashiriki shindano la Story of change 2023 naombeni kura zenu zote za kutosha ili iwezekushinda na kuakisi matokeo,mtazamo na mabadiliko chanya yanayochochewa na mawazo yenye nguvu kutoka katika vichwa vya vijana wanaojitambua na kujielewa kura yako na ya mwenzako...
  3. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Na pia mada hii inashiriki story of change 2023 naombeni kura zenu zote za kutosha iwezekushinda namba moja ili tuweze kuleta mabadiliko tunayoyatarajia katika nyanja mbalimbali
  4. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Ni kweli kabisa mkuu tunahitajika sana kuleta utofauti katika jamii yetu hasa kizazi hiki Watanzania tufahamu kwamba mabadiliko yanatuhitaji kuliko sisi tunavyoyahitaji mabadiliko katika nyanja zote za maisha tubadilike tujisahihishe ilituijenge kesho njema ya vizazi vijavyo wakati ni sasa...
  5. Y

    Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa 'Kinga ya Jinai' Maafisa Usalama

    Naona Kabisa Usalama wa Taifa wakiwa untouchable na yoyote chini kidogo Tu ya Nguvu kubwa iliyonayo Cheo Cha Rais wa Jamhuri ya Tanzania Naam wanaenda kuwa Mungu watu wakihodhi mamlaka, Nguvu na Sheria zikiwabeba kwa kila kitu je hili ni Sawa kweli? Slogan ya Jamii forum ni kwamba is the house...
  6. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Asante Sana 🙏🏿🇹🇿 Kiongozi let us making a difference in all aspects of our Tanzania politics, governance, leadership etc#MzalendoKijana#MakingADifference
  7. Y

    SoC03 Siasa, Uongozi, Utawala na Uwajibikaji: Nini hatima ya Tanzania yetu?

    Siasa, uongozi, na utawala ni mada ambazo zinaweza kuwa ngumu kuzungumza juu yake kwa sababu zinahusisha masuala magumu ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Hata hivyo, mada hizi zina umuhimu mkubwa katika jamii kwa sababu zinaweza kusababisha athari za kudumu kwa raia wote. Katika makala hii...
  8. Y

    SoC03 Utawala, Siasa na Uongozi

    Asante Sana naomba tuipigie kura hii ishinde ilitulete mabadiliko Chanya katika mifumo ya Siasa, Uongozi na Utawala tuna kila sababu,Nia,hali, Nguvu na uwezo wa kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya Taifa letu na vizazi vijavyo #SiasaNiMaishaYaKilaSikuYaMwanadamu🙏🏿🙏🏿🇹🇿🇹🇿
  9. Y

    SoC03 Utawala, Siasa na Uongozi

    Siasa, uongozi, na utawala ni mada ambazo zinaweza kuwa ngumu kuzungumza juu yake kwa sababu zinahusisha masuala magumu ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Hata hivyo, mada hizi zina umuhimu mkubwa katika jamii kwa sababu zinaweza kusababisha athari za kudumu kwa raia wote. Katika makala hii...
Back
Top Bottom