Niliona tatizo kubwa Ni kutokua na terms of reference/ mtiririko ulioandaliwa kabla !Mfano:Maswali yahusuyo katiba,maswali ya kielimu,Kiviwanda na n.k!Pia mkuu alikuwa anakimbia maswali na kuanza maelezo yake ya kikampeni!
Nimeamini Ni jambo la kweli kwa jinsi Rais alivyojibu.Navyomjua JPM angepanic Sana kwa hasira na kutoa kauli za kutosha waliohusika,ILA mzee kalijibu ki Ccm na kuashiria Ni kitu anachokijua.
Yani unataka majimbo ya mijini ambayo Ni angalau?Kuna majimbo ya vijijini huko watu hawajui wale nini,walimu hakuna,hawana maji safi ya bwawa achilia mbali bomba,Hospital hakuna achilia mbali Madocta na Dawa.PIA mbunge Ni msemaji WA na mwakilishi WA wananchi,nadhani huko ulikotaja..ungesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.