Mwaka huu kila wanachopanga ukawa wanacho, kila wakiongea ukawa wanajibu kwa hoja za msingi, kila wakidanganya ukawa wanawaumbua.
Imebaki kuwachinja tu octoba iishe habari yao.
Wananchi sasa hivi tumeshachora mstari wa uvumilivu na kuweka pamba masikioni mpaka october bila kusikia...
Lakini naona JK anajichafua mwwnyewe kwa kujibizana na Lissu na kutupa majibu mepesimepesi bila haya. Kama kweli Richmond ilikuwa ya Lowassa kwa nn Lowassa alipoona mkataba ni mbovu na uvunjwe mamlaka ya juu ilikataa kufanya hivyo?
Kama leo JK anajitokeza na kusema yeye atamtaja, je alikuwa...
Habarini wadau wanajamvi,
Tunachukua nafasi hii kama timu ya wana wa jimbo la Kongwa kumuonya mbunge wetu wa Kongwa kuwa hiki ni kitendawili anachotakiwa kukitegua ambacho kipo mbele yake pale kamati ya PAC itakaposoma taarifa yake bungeni juu ya sakata la Tegeta ESCROW A/C. Ni kwa masikio yetu...
Yani anaota mchana kweupe, ye asibiri mwakani atakiona na tunajua ameanza kutapatapa maana watu hata hawamtaki tena Kongwa kimsingi hakuna maendeleo licha ya yeye kuwa katika nafasi nzuri serikalini ndio kaishia kujenga barabara tu na kuna mradi wa maji ambao wananchi wanapata shida eti bado...
Ndugai anachekesha kweli watu walionuna. Ni maendeleo gani anayotaka kuwadanganya mlio nje ya kongwa kwa kuzindua hiyo barabara ya km 5 kwa kiwango cha lami kwa muda wote wa kukaa madarakani kwa miaka 15!!! au anafikiri anaongea na watoto wakati kuna huduma mbaya za afya na miundombinu kama hizo...
This country needs pple who are committed in a way lyk a dictatorship as a form of leadership so as to bring equality for those who thought that this country ia theirs n there z no someone to overlook them while arevengaging in shameful actions. The end is near to those who need changes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.