Mwanzoni nilikuwa natafakari bandiko lako +vely. Baada ya kuja na hoja hii ya semina elekezi kwa wabunge wa CHADEMA moja kwa moja nilikupeleka kwenye uwanja wa wajinga fulani hivi.
Hivi kama ni semina elekezi akina Kibajaji, Nkamia na etl wapelekwe semina zipi?
Si unajua mkulu anakaribia kutoa post za kazi! Ukizingatia jamaa kazinda kutia guu Lumumba hivyo hakuna njia zaidi ya kujipendekeza through social medias! Ndio maana Lumumba pamecharuka kiasi hiki.
Hata huku Ulaya wapo wanao kula raha bila kufanya kazi. Yaani ukiwa unafanya kazi Ulaya nyuma yako umebeba mzigo wa Jobless guys 5 ama walevi flani hivi. Nakushangaa wewe unaye shangaa watu kufurahia au kula raha wakati hawafanyi kazi!! Au hujui kwamaba hata Royal Family wana kula maisha ya...
Kwa mtu mwenye maono ya kiuongozi, likitokea jambo hili lazima atajua kuna mushkeli mahali hivyo ni lazima kutafuta njia ya kuwarudisha watu wawe wamoja. Na sio kuonyesha kiburi ambacho hakita lijenga taifa kama ilivyo sasa.
Ni kwa sababu si chaguo lao. Kama sivyo, kwa nini ninyi msiijaze mitandao? Au kwa vile unaingia kwa ID lukuki ndio unadanganya kwamba nyie ndio mmetawala jukwaa?
Kweli kabisa. Hapa kwetu licha ya kwamba ni makao makuu ya wilaya, wananchi wengi wako down kupita maelezo. Yaani hakuna hata anaye jali kwamba kulikuwa kuna tukio la kumtangaza mshindi wa urais.
Wengi wao wamepigwa na butwaa huku wakijawa na huzuni kwani matarajio yao ya walicho kichagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.