Mwenye ufahamu wa hili naomba anieleshe,ivi kwenye gharama zinazotajwa kule unako peleka posa,zote utambulika kama mahali?ama kile kiasi anacho ulizwa yule anae poswa ndoo utambulika kama mahali?
Me niko tegeta kiongoz,kwanza me siyo muumini wa ayo mambo ila uwez amini kuhusu iyo chum
me niko tegeta ila amini usiamini kaka watu wanakufuri uku duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.