Kaka inaonekana uko nje ya siasa kabisa,,mmmh,muda mrefu chadema wameshaeleza watafanya nini wakipewa nchi,na hata ilani ya uchaguzi inaeleza, mambo mengine kaka tafuta vitabu usome yameandikwa,
Yeye amesema sasa lolote usilolijua usipinge mapema ,chunguza kwa kina kwanini kasema hayo, je ni siasa ya jukwaani,au imeandikwa,je ni mfano ,,kuna mengi jiulizeni ,kwanini,
Sioni sababu ya mtu kung'ang'ana na chama ambacho hakikuhitaji,sera na mipango yako mizuri ipeleke chama kingine,hata Yesu alikuja kwa watu wake walipomkataa akaangalia mataifa mengine ili afikishe alichokusudia,
Hama chadema nenda hata .......ukapitie huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.