Kimsingi mtu anapokuwa na shahada ya elimu na akaajiriwa kama mwalimu cheo chake ni afisa elimu daraja la pili,,so kazi ni mwalimu na cheo ni afisa elimu II, suala la kuwa afisa elimu wa wilaya au mkoa ni ww kuongeza elimu at least kuwa na masters ndo cheo kinapanda kuwa mkuu wa idara lakini pia...
Wadau natafuta kazi yoyote inayoendana na professional yangu. Elimu yangu ni shahada ya political science and public administration
Nimemaliza mwaka 2011 nilikuwa nafanya kazi katika NGO moja as program officer then mradi umeisha mwaka Jana 2018 hivyo Nina uzoefu wa kutosha katika kazi msaada...
Naomba kuuliza km taarifa zangu zipo kwenye portal nikitaka kuomba kazi tena naanza upya kuingiza taarifa zangu na vyeti au inakuaje msaada wenu wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.