Katika Kongamano la Kitaifa la Ubia (PPP) Sekta ya Nishati, Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila, alisisitiza kuwa maendeleo ni mijadala na majadiliano ndiyo msingi wake. Akieleza kuwa katika dunia ya taarifa (Information Age) hakuna tena mwenye “monopoly” ya suluhisho la matatizo ya...
DAVID KAFULILA: KODI NA MIKOPO PEKEE HAZITOSHI KUTEKELEZA MIRADI YOTE YA MAENDELEO KWA WAKATI NDIO MAANA TUNASUKUMA PPP.
Katika Kongamano la Kitaifa la Ubia (PPP) Sekta ya Nishati, Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila, amesisitiza kuwa ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi ni msingi wa...
KAFULILA: ECOSYSTEM YA UBIA INAJUMUISHA WANANCHI, SERIKALI NA SEKTA BINAFSI
==
Akijibu masuala ya wadau katika Kongamano la Kitaifa la Nishati, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha PPP (PPPC), Bwana David Kafulila, amefafanua kuwa ecosystem ya PPP ni mfumo wa kiuchumi unaojumuisha pande tatu kuu...
Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Oxford umeonesha kuwa katika nchi 13 tajiri zaidi duniani, takribani asilimia 25 ya nguvu ya uchumi hutokana na ufanisi wa kitaasisi. Hii ina maana kuwa taasisi zenye mifumo thabiti na uwajibikaji huongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi kuliko hata rasilimali...
===
Katika zama hizi za ushindani wa kiuchumi na mabadiliko ya kidigitali, Tanzania inaweka misingi thabiti ya kujenga uchumi shirikishi kupitia ubia kati ya serikali na sekta binafsi.
Hatua hii muhimu zaidi inasimamiwa na Mhe. David Kafulila, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya...
MHE DAVID KAFULILA: TUMEMKATAA MBIA BARABARA YA KULIPIA KIBAHA- CHALINZE KWA MASLAHI YA NCHI
====
Mhe. David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu Watanzania kuwa barabara ya Kibaha–Chalinze, iliyotarajiwa kujengwa kwa mfumo wa ubia kati ya serikali...
David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu Watanzania kuwa barabara ya Kibaha–Chalinze, iliyotarajiwa kujengwa kwa mfumo wa ubia kati ya serikali na sekta binafsi kwa makisio ya zaidi ya Shilingi trilioni moja (1,000,000,000,000), imekataliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.