Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema kuwa historia ya China ni mfano wa namna sera sahihi na uwekezaji katika rasilimali watu vinavyoweza kubadilisha taifa. Alieleza kuwa China ilianza safari...
Katika dunia ya leo, Ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP) umejidhihirisha kuwa nguzo muhimu katika kuleta mageuzi ya kiuchumi, hasa kwenye sekta ya kilimo. Nchi kama Kenya kupitia miradi ya umwagiliaji wa Galana Kulalu, na India kupitia ubia wa serikali na makampuni binafsi kwenye...
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameihimiza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuacha kutegemea ukusanyaji wa mapato pekee na badala yake kukumbatia ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPPs) pamoja na uwekezaji wa hisa katika miradi mikubwa ya maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.