Ndugu zangu Tanzania sasa ni miaka 50 imepita tokea uhuru je tunajua wapi tulipotoka kisiasa, wapi tulipo na wapi tunaelekea kisiasa? Na kwanini siasa zetu zinabadilika. je zinabadilishwa au Tunazibadilisha?
We Mtela ulitaka kamanda wetu aje kuomba msaada CCM
Alafu ulivyo kuwa ujui sheria eti unauliza sheria gani iliyo mruhusu kujikopesha.....na mimi na kuuliza sheria gani iliyo mkataza kukopa
Habari kamanda, nakupa taarifa ya mkutano wa hadhara j2 tar.24 kata ya Makumbusho, katika uwanja ambao upo mbele mbele kidogo ya shule ya msingi Mwananyamala B, au karibu na kituo cha Royal Mwananyamala, mgeni rasmi Mh.Mnyika.
Tafadhali toa taarifa kwa wanachama na wananchi waudhurie kadri...
Vita vya Dini Havina mshindi....
Wakristo, waislamu na wapangani Tupendane.....Hivi mauji ya kimbari hayajatufundisha chochote...kenya je....somalia....sudani....nigeria Biafra....hadi leo mshindi wa dini ajapatika... Tanzania ni watanzania na watanzania ni wote
Watanzania wapi Tunaelekea...Tumeshindwa kupambana na adui Ujinga,Umasikini, na Maradhi...
Tunajitengenezea adui mpya eti udini alafu tunaacha CCM wanakula nchi....Tuamke watanzania........Ummoja ni nguvu....Tanzania ni ya watanzania na watanzania ni wote
Jamani wa Tanzania huu mgao wa kimya kimya hatuuoni au ndio mpaka wabunge waongee huku tunapokwenda sio Tuamke watanzania. Kunamsemo wa kiswahili unasema: babu jinga inama ufikiri mali yako inaliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.