Serikali ya SMZ ikiangalie kisiwa cha Pemba kama ni sehemu muhimi ya uchumi wa Zanzibar.
Barabara zaid ya 90% zimechakaa kwa kiwango kibaya sana zina mashimo mfano wa visima.
Tofauti na kisiwa cha unguja tumeshuhudia barabara nzima zikibomolewa na kujengwa mpya , hali ipo tofauti kwa kisiwa...
Maisha ya sasa kama huna gari au hata pikipiki madem wanakuona boya sana huo ndio ukweli, mademu wanapenda sana show off waonekane wameshushwa katika gari sio kuparamia madala dala!!
Habar!
Mimi ni mkaazi wa Zanzibar (unguja) niliomba kuunganishiwa huduma ya internet kwa njia ya wire(fiber) katika ofisi za TTCL tokea mwaka jana 2023 , mara ya mwanzo kufika ofisini KIJANGWANI ZANZIBAR walinambia nijaze form, nikaja na kukabidhi ile form!
Nimekaa karibia miez 8 kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.