Suala la mwanamke kujifunika mwili mzima. Hapa unaingilia masuala ya imani za watu na si jambo jema. Anae jifunika ana sababu zake na mismamo yake lakini pia umezungumzia suala la harufu. Je una ushahidi wa japo mtu mmoja alie lalamika kua akivaa ivo anatoa harufu au umeweka dhana na dhamira tu?
Imeelezwa kama ubakaji ila ukiangalia namna kosa lilivyo tendeka ni kama hawa wawili walikua wana maridhiano kua wataoana.
Kwaio imechukuliwa kama kesi ya ubakaji kwani kijana ametumia mgongo uo kulaghai. Sio katumia nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.