Recent content by yakobih

  1. yakobih

    Sikuabliani na Magufuli kuhusu somo la Historia. Kama ni Uzalendo, watoto watajifunza kwenye somo la URAIA

    katika mambo ambayo ni ya hovyo hili ni mojawapo! wangeboresha somo la historia lillilopo sio kuongeza ati historiz ya tanganyika au tanzagiza!
  2. yakobih

    Mambosasa: Tumempuuza Mwamakula na kumuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana

    unajua nchi hii watu mpaka watumwe ndio wafanye ujinga wao! jamani mambosasa kumpekua askofu unatafuta nini, biblia, joho lake au msalaba! sababu katiba mpya muhimu sana!
  3. yakobih

    Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

    heee! sasa mtu kasomea in deep masomo mawili a -level mpaka university leo umpangie afundishe masomo manne yapi tena na kwa uelewa upi alionao! eati wengine jamani sijui wanafikiria kwa kutumia nini!
  4. yakobih

    Nimekubali Bunge la sasa ni kikao cha CCM. Hesabu hazidanganyi; wabunge wa Upinzani ni 6% tu!

    wangekuwa hawapokei maelekezo kutoka juu nn kifanyike!
  5. yakobih

    Nimekubali Bunge la sasa ni kikao cha CCM. Hesabu hazidanganyi; wabunge wa Upinzani ni 6% tu!

    hayo ndio matekeo ya uelewa mdogo wa wananchi kuhusu maana ya siasa! pia kukosa tume huru ya uchaguzi!
  6. yakobih

    Serikali kuja na Vitambulisho vipya kwa Machinga vitakavyodumu zaidi ya mwaka

    duuh! gharama yake itapande au ileile!
  7. yakobih

    MSAJILI WA HAZINA: Simon Group inamiliki 51% ya Hisa UDA na Serikali 49%, Jiji halina hisa

    jamani njii hii mbona madudu yanazidi kila uchao!!
  8. yakobih

    Hali ya sintofahamu Bungeni: Polisi waingilia kati, Wabunge wa Upinzani watolewa nje

    Serikali ya ccm na wapambe wenu acheni woga!! mambo inabidi yawekwe peupe ili wajanja wajana waumbuke!
  9. yakobih

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    muhimu mtoa mada ukafahamu hii nchi ilikaribia kupoteza mwelekeo kwa uozo!! hapa tulipifika inabidi watu walio misuse offices and public funds wajitambue kwamba walilikosea taifa hili kabla hata huwajapata muda wakujipanga ili wazidi kuturostisha!! hawa hata mahakamani watakushinda mana wana...
  10. yakobih

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    sawasawa wengine wanaingilia mpaka ndoa za watu!!
  11. yakobih

    Rais Magufuli akutana na wafanyabiashara, atoa siku 7 kwa waliokwepa kodi kujisalimisha na kulipa

    aaah! kufanya kazi wizara ya ujenzi sio lazima uwe engineer!! magufuliJP cv yake inasema wazi yeye ni mkemia na ndoma anajua kukariri vitu!!
  12. yakobih

    Waziri Mkuu afanya ziara ya ghafla bandari, aamrisha kukamatwa kwa maafisa wa TRA

    aaah we jamaa! mbona jk alikuwapo 10 yrs mambo yakawa vilevile ina mana hakutimiza majukumu yake au?!! haya mambo yanahitaji maamuzi ya mtu jasiri na mwelevu!! c mwoga kama wewe!!
  13. yakobih

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    tuambieee saa ngapi tunarejea!! mm pia hata kibaruani ndo sijafika nasubiri speech ya PM nitoa mtazamo wangu ni mtu wa aina gani!!!
  14. yakobih

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    zanzibar tuna waziri kiongozi!!!
Back
Top Bottom