Nadhani kwenye Katiba, ile sehemu yenye haki za binadamu, tungeongeza ibara inayosema "kila mtu ana haki ya kutoogopa mtu au kitu chochote wakati wa kutekeleza majukumu yake".. Msigwa ndiyo kipimo halisi cha watanzania ambao tumezoea majungu, kuongea vitu nyuma ya pazia lakini tunapokutana na...
Askari kama Mtanzania yeyote ana haki ya kujilinda na kama kujilinda huko kunaitaji kuua ili asiuwawe yeye basi anaruhusiwa kuua. Haki ya kujilinda ipo kwenye Katiba ya JMT.
The first revolution is when you change your mind about how you look at things and see that there might be another way to look at it that you have not been shown..
Ushauri: Somo la Falsafa lianze kufundishwa kuanzia kidato cha kwanza..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.