Recent content by YahilimaPaul

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Uko youtube huu
  2. Y

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wanaume walaumiwe biashara ya ukahaba

    Dah kwa sababu wateja ni wengi
  3. Y

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wanaume walaumiwe biashara ya ukahaba

    Kwanini wanaume? Ni kwa sababu wanaume ndiyo wanunuaji (Wateja) Kwa kawaida biashara ikikosa wateja muuzaji hubadili bidhaa au kuachana na biashara hiyo kabisa. Kwenye jamii wanaume ukiwakuta vijiweni hukemea kwa 100% na kupinga ukahaba lakini ukweli ikifika usiku ndiyo kwanza wanakuwa wateja...
  4. Y

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kilimo na Ufugaji yawe masomo ya lazima shule za Msingi na Sekondari

    Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu na huchangia 80% ya pato la taifa kuliko sekta nyingine ya uchumi. Kwa sababu hiyo sekta hizi zinatakiwa ziwekewe uwekezaji mkubwa zaidi. Wasomi wanaohitimu vyuoni hawapendi kufanya shughuli za kilimo na ufugaji kwa sababu kuu mbili. 1. Hawana taaluma ya...
Back
Top Bottom