Shamba lenye minazi pamoja na mikorosho linauzwa. Lipo wilayani Mkuranga katika kijiji kiitwacho Magoza. Ni tambarare na ni eneo la mchanga mweupe. Bei maelewano. Pia halipo mbali na barabara ya magari na gari inafika mpaka shambani.
Kwa anayehitaji, wasiliana nami kwa namba: 0653-61-57-29 au...
Najivunia sana kusoma somo la Kiswahili katika ngazi ya elimu ya juu, tunakidharau Kiswahili lakini kiukweli hatukijui. Kama wewe unakijua vizuri Kiswahili naomba unijibu swali hili dogo, mobile phone inaitwaje kwa Kiswahili halisi?
labda niseme kitu kuhusiana na lugha ya English as far as applied linguistics is concerned.tatizo as watanzania tunapenda kukosoa wenzetu lakini ukweli ni kwamba asilimia kubwa sana ya watz hawajui English both written and oral,first ,judge yourself before judging your colligue.
First of all I would thanks to god up to where am, second for those who have been blessed to pursue masters programs may you get me your assistance that am a last year student pursuing bachelor degree of arts.
Now I have thoughts to go on with master degree but problem is which program should I...
its normal we educated people especially we Tanzanian to discuss issues such as comparing universities among ourselves as if the title of our universities matter in academic judgement, my self am a university student approaching to graduate but this issue introduced before huts as some of us...
udsm ilichemka mapema sana CHUO kilichoongoza kwa Tanzania kilikuwa university of IRINGA formerly TUMAINI university at IRINGA,ruaha university then Zanzibar,kaka usiangalie Nina LA CHUO matters academic exellence
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.