Pana kazi nackia hatari, mm nlipataga certificate on IT bt nkabadili maamuz nkaona bora nipige six kwnza then nirud n namshukuru Mungu nimechaguliwa sasa kusoma degree mwaka huu so nshapiga gape wale wote ambao ngeingia nao diploma 2 this year.
Hahahahahah kijana ana mbwembwe na yeye pi kachaguliwa ifm ila anaona elimu haina issue hapa duniani....huyu anaonekana hata form 4 haijui form six sio kwa kichwa hiki
Duh hyo kali ya mwaka, c mzima nahc sasa ulichagulia nn mm nadhan u just showing off kua umechaguliwa bt ur comment inaonesha dhahiir sio kwel, na kama ni kwel basi umerogogwa maana hata chizi hwez ongea huo upuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.