Recent content by xmaziku

  1. X

    CCM Should start acting like "Chama Tawala", no other way around...!

    Mimi nadhani sasa niwakati wa wananchi kutambua nini maana ya maendeleo katika nchi na mtu mmoja mmoja kwa ujumla, pia kwa kulitambua hilo ni hakikaka wanaweza kuangalia chama tawala kimetekeleza mangapi pamoja na kukopa ilani kutoka vyama pinzani yani inamaanisha wamejitwisha mizigo mingine...
  2. X

    Ni uwendawazimu kuuvunja Muungano kwa hoja ya "Wazanzibar na Watanganyika hawakushiriki kuunda"

    hili swala la serekari tatu mi nadhani tunaongeza gharama katika uendeshaji wa taifa kwa ujumla, kwa kuangalia kutakua na misafara mingi, bajeti ya kampeni kubwa, bajeti ya pesa kwajiri ya kuendesha hizo sericari tatu. kikubwa ni kuborasha yaliopo na kuangalia mapungufu tu ya katiba mama
  3. X

    Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!

    Mimi nadhani kuna haja ya wanachama wa EAC kukaa chini na kuangalia Chanzo cha tatizo na kulitatua, na si kuachia Wahusika wa tukio kwasababu kuna raia ambao wananyanyasika pasipo sababu za msingi, kwani hawahusiki na hayo matukio wala marumbano, na niwazi kwamba kwa sasa tumechangamana sana...
  4. X

    DDP: Tukio la tindikali Zanzibar sio ugaidi

    Nadhani umefika wakati sisi kama watanzania tujitazame kwa jicho la tatu namaana tuangalie mambo yanayosumbua nchi yetu ili kuboresha amani Tanzania, Haiwezekani tunashughulikia matukio ya nchi nyingine wakati ya ndani hatujayatatua," KAMA UMESHINDWA KUIONGOZA FAMILIA YA MKE, WATOTO, kAMWE...
Back
Top Bottom