Recent content by xln

  1. X

    Je. Lengo la Dini apa duniani ni kuleta tofauti kwa wanadamu?

    Kwa mujib wako kumbe waanzilishi wa izi dini ni wanawake...
  2. X

    Je. Lengo la Dini apa duniani ni kuleta tofauti kwa wanadamu?

    Nilikuwa nkiwaza ivyo pia lakn uwa tunapingana kwa mujibu wa maandiko tunayo yasoma kwenye vitabu vya dini tunazo ziami...
  3. X

    Je. Lengo la Dini apa duniani ni kuleta tofauti kwa wanadamu?

    Habari wana jukwaa..... Naomba nichukue nafasi hii kumsihi kila mtu kwa dini yake kwamba uh cyo uzi uliyolenga kuleta mjadala wa kidini kwamba ipi n bora au ipi cyo bora . Nimelenga kusikia mtazamo wako kutokana na uwalisia uliopo tangu dini kuanzishwa apa duniani. cna ufaham mkubwa kuhus...
  4. X

    Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    Sasa mbona mimi simioni au ww ushawai kumuona kapakanyaga apo mahar palipo inuka, ivi unaweza kuishi na wanao nyumba moja na kujificha ndani ya nyumba iyo iyo?
  5. X

    Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    Kama kweli uyo mungu yupo bas tumekuwa tukimuelezea tofauti na uharisia wake
  6. X

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Iv ishawah kukutokea ukiwa unataka kulala kunasauti znakuj na kuondoka kama minongo'no af uwezi kuelew vinavyo zungumzwa au sura za watu au za mahar ulipoenda kweny mzunguko yak yakila cku ndugu?
  7. X

    Kwanini Mungu yupo?

    Iv unakumbukumbu ata moja kama ulishawahi kuwa na mungu afu akakuleta apa duniani?
Back
Top Bottom