Mimi sipo serious kihivyo Mkuu..
Ila naamini wababa wazoefu humu waliowahi kuwashindanisha wanawake kati ya mwenye bikra na asiyenayo kwenye ubora wa kuenzi ndoa ipasavyo wanaweza kutupa uhakika wa hilo.
😀
Aisee!
Ndo kusema huu uzi ulitaka tufafanue aina za bikra na mahali zinapatikana😀
Kulingana na uzi mi naona mwanamke anaeolewa bikra ni mbumbumbu, hana mchango chanya kwenye ndoa zaidi ya hiyo bikra yake.
Samahani kwa kusema 'MBUMBUMBU'🤗
Wababa mjue kwamba kuna bikra aina mbili. Pwani waeza pata bikra fulani ingine ikawa mtihani. Kwa bara pia unaweza pata moja upande mwingine ikawa mtihani.
UCHAGUZI NI WENU KWENDA BARA AU VISIWANI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.