Recent content by xixi

  1. xixi

    Wanawake, baada ya ugomvi na mumeo kanuna yupo kitandani unamuamsha vipi akale chakula?

    Tengeneza juicy ya tende korosho na karanga na nazi. Ficha vyakula vyote. Weka juice mezani. Kalale utafute nguvu za kuja kuombwa msamaha.
  2. xixi

    Nimekuta mawe mawili kwenye kimkoba cha mke wangu

    Kuweka jiwe mfukoni au kwenye mkoba unazuia mavi usijinyee kama umebanwa na haja kubwa. Mi najua hivyo
  3. xixi

    Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

    Sali sana. Sali alfajiri-asubuhi-mchana-adhuhuri-jioni-usiku
  4. xixi

    Wanawake muwe mnathamini jasho la waume zenu

    😀 Wanawake kuweni makini na wanaume wapare. Mleta uzi Acha upare, kamuimbie mkeo 'shikamoo shika roho'
  5. xixi

    Hivi Mwanamke hawezi kabisa kutoa penzi kwa ampendae bila kutaka kugharamiwa?

    Changamoto ni wewe kupenda usipopendwa.. Atakuomba ela hadi umkimbie mwenyewe. Be wise!
  6. xixi

    Hivi mpenzi wako anapokuita "mubaba"anakua na maana gani?

    Ni kweli! Ni slogan so huenda amekolea mpka anatupia vislogan kunogesha penzi🤗
  7. xixi

    Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Mimi sipo serious kihivyo Mkuu.. Ila naamini wababa wazoefu humu waliowahi kuwashindanisha wanawake kati ya mwenye bikra na asiyenayo kwenye ubora wa kuenzi ndoa ipasavyo wanaweza kutupa uhakika wa hilo.
  8. xixi

    Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    😀 Aisee! Ndo kusema huu uzi ulitaka tufafanue aina za bikra na mahali zinapatikana😀 Kulingana na uzi mi naona mwanamke anaeolewa bikra ni mbumbumbu, hana mchango chanya kwenye ndoa zaidi ya hiyo bikra yake. Samahani kwa kusema 'MBUMBUMBU'🤗
  9. xixi

    Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    Wababa mjue kwamba kuna bikra aina mbili. Pwani waeza pata bikra fulani ingine ikawa mtihani. Kwa bara pia unaweza pata moja upande mwingine ikawa mtihani. UCHAGUZI NI WENU KWENDA BARA AU VISIWANI
  10. xixi

    Wanaume tunaonyandua vizuri tunaelewa umuhimu na ulazima wa kunyonye uke kabla ya shoo

    Bado sijajua Mkuu... hivi hakuna Mlambwaji au Mnyonywaji?
  11. xixi

    Wanawake punguzeni vikao wakati wa tendo

    😂😂 Kumbe mambo ni mazito hivi? Ila kama unaambiwa hivi kaka angu amini nakwambia unatumika! Kuna mwenzio hapo anaeliliwa mpaka agenda zinasahaulika
Back
Top Bottom