Habari wanaJF!
Mwaka 2008/2009, Mh.6 akiwa bado spika wa bunge la JMT aliasisi chama kipya cha CCJ ili kishiriki uchaguzi wa 2010 kwa lengo la kuindoa CCM madarakani kwa kile kilichoonekana viongozi wengi wa chama hicho ni mafisadi na hawana nia ya dhati ya kumkomboa mwananchi kutoka kwenye...
Ndugu yangu Njano5, 'KWELI' iliyowazi na yenye manufaa mapana kwa jamii itaheshimika na hata kupata ushindi. Lakini, kama itakuwa kizani na inatafutwa kiujanjaujanja na kwa lengo la kuhatarisha jamii, nami nasema iache 'HAKI' ionekane kutawala. Ni bora kuwa na HAKI inayoonekana mbele ya jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.