Nashukuru mkuu,
Bei ya jumla (kuanzia majogoo 50) ni Tsh. 15,000/= kwa rejareja ni Tsh. 18,000/=. Mteja anafuata mzigo mwenyewe kimara. Maelezo zaidi tuwasiliane kwa email dconsolatha@gmail.com
Habari Wakuu,
Ninauza majogoo ya kienyeji kwa yoyote anayehitaji au anayefahamu mtu anayehitaji naomba tuwasiliane kwenye email dconsolatha@gmail.com
Kila la kheri wakuu.
Huko ni kujiendekeza tu, kwani kama ushapata mwenza ambaye mlikubaliana ni vyema kuweka tamaa nyuma na ku-define maisha yanayompendeza Mungu (yaani mke na mume mmoja) kwa Wakatoliki. Naimani kama huna kona kona (Girlfriend au Boyfriend) ni lazima utampenda na kumuheshimu mwenza wako, vivyo kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.